Ezekiel 12:28
28
“Kwa hiyo, waambie, ‘Hili ndilo
Bwana
Mwenyezi asemalo: Hakuna maneno yangu yatakayocheleweshwa tena zaidi, lolote nisemalo litatimizwa, asema
Bwana
Mwenyezi.’ ”
Copyright information for
SwhNEN